Atoa kauli
nzito kwa wasanii wa kike “sijachuja,mshikilie uliye nae sichagui kutwa mara
tatu”.
Siku
chache baada ya kutua katika jiji la Arusha akitokea jijini Dar mrembo aliyevuma kwa kuharibu ndoa
za watu na kutembea na watu maarufu jijini Dar na kufikia hatua yakushindwa
kufanya hata sanaa,nakuambulia kuuza sura katika video ya msanii wa muziki
jijini aja na jipya jijini Arusha.
Akizungumza
na Blog hii msanii huyo aliyefahamika kwa jina la Rose ambaye hivi karibuni
aliandikwa na mtandao mwenza na huu baada yakusababisha filamu kushindwa
kufanyika akiwagombanisha wasanii waliokuwa wahusika wa filamu hiyo
iliyotambulika kwa jina la shadow of pains.
Aidha
alibainisha kuwa hajachuja hata kidogo na Dar aliondoka baada ya kutamani kuishi katika mazingira ya baridi kwani
alizoea safari za nchi za baridi hivyo bongo kulikuwa kunampa shida na
kumuharibu mwili wake uliojazia vema,hata hivyo aliwaonya wasanii wenzake
wanaozani amechuja kuwa wawashikilie wanaume zao vema kwani yeye ni zaidi ya
kiwembe cha gillete alisema msanii huyo mwenye madoido na jicho la huba.
Licha
ya mkwara huo alioingia nao jijini hapa,msanii huyo ambaye anadaiwa kuwa na
mahusiano na mtangazaji Jackson John wa kituo maarufu cha radio kinachomilikiwa
na mfanyabiashara mkongwe nchini,alijikuta akitulizwa mbwembwe zake na kijana
mdogo wa kihaya ambaye ni msanii mwenzake alipokuwa katika mazoezi kwani
aliombwa kufanya kipande cha uhusika wa mahaba na kujikuta akihemea juu juu baada
ya kuelemewa na ufundi wa chalii huyo mdogo mwenye mambo makubwa na kuzua
vicheko kwa wasanii wengine.
Baada
ya tukio hilo ndipo minongóno ikaanza kuwa kumbe si lolote si chochote kwani
mazoezi yamemnyima pumzi itakuaje katika ukweli,au ndo maana Dar alikuwa
anatapatapa nakuachika mara kwa mara,walisikika wenzake wakiulizana.naye
hakusita akajibu mapigo kuwa yuko fiti na kuhakikisha hilo atachukua mmoja
baada ya mwingine pasipo kujali ni wa nani hata kama mume wa mtu,hata hivyo
nyepesi nyepesi nikuwa anataka kuhamia Mwanza kwani Arusha mambo hayalipi kama
alivyotarajia.
Kama
kawaida ya mtandao huu ,ni kurekebisha tabia hivyo kumuomba dada huyo
kutokuaribu tasnia hiyo kwa mkoa huo wala Tanzania kwa ujumla kwani bado
mapambano yanaendelea hivyo akafanye kazi nyingine kama sanaa
imemshinda…ikumbukwe msanii ni kioo cha jamii na si uhuni.
No comments:
Post a Comment