WASANII WA ARUSHA PROFESSIONAL MOVIES WAKIRUDI NATAKA KULEWA |
Yule
gwiji wa muziki Tanzania anayeshine kwa sasa all over Tanzania and East Africa
in general Diamond Platnumz a.k.a WASAFI PRESIDENT amewaaribu wasanii wa filamu
jijini Arusha..
Hayo
yalibanika pale mwandishi wetu alipohudhuria party ya wasanii wa filamu Arusha
iliyofanyika katika moja ya club kubwa hapa jijini na kukuta wasanii wa filamu
wakicheza huku wakisaura (wakivua) nguo zao moja baada ya nyingine pale
ilipopigwa ngoma ya “NATAKA KULEWA”..
Hizi
ni baadhi ya picha alizozipata mwandishi wetu wakati alipohudhuria party hiyo
na kushangaa kuona wasanii hao wakifanya yao wakati wa party yao iliyokua
imedhaminiwa na kampuni inayotengeneza filamu hapa jijini Arusha ya Emags Video
Entertainment…
WASANII WA ARUSHA PROFESSIONAL MOVIES WAKIRUDI NGOMA YA NATAKA KULEWA |
Blog
hii inawauliza wasanii hawa Je, hii ndiyo elimu mnayoitoa kwa wanajamii?
Acheni
kufanya mambo ambayo hayaifundishi jamii kwani badala ya kuelimisha jamii mnaipotosha
jamii kwa matendo yenu na ndiyo maana watu wengi wanaogopa kuingia kwenye
tasnia hii ya sanaa ya kuigiza.
Tunatoa
ushauri kwa wasanii wa Arusha kuacha kuigiza yale yanaimbwa kwenye nyimba za
wasanii wetu kwani zingine hazifai kuigwa na mwisho wa siku watajutia yale
waliyoyafanya…….
No comments:
Post a Comment