Ikiwa
ni siju chache tu baada ya mtandao wa
kurekebisha tabia na kutangaza sanaa ya jijini Arusha kuanzishwa hali zimekuwa
tofauti kwa wasanii mjini hapa baada ya baadhi kuonekana kufurahia hali hiyo
huku wengine wakionekana kuchukizwa na. kujawa jazba mara kwa mara baada ya
kamera ya blog hii kuwanasa katika matukio na kuandikwa .
Katika
matukio makuu mawili ya hivi karibuni yalioandikwa juu ya msanii wa ngoma asili
na ile ya msanii wa kike kuwatia tumbo joto wenzake kwa kutembea na mabwana
zao kutapakaa walionekana kutoridhika
baada ya kukumbwa na simu zisizoisha juu ya matukio yao kutoka kwa watu wanao
wafahamu na kuhofu mambo yao kubuma.
Wasanii
hao kwa nyakati tofauti walifika katika ofisi za blog hii na kuripoti juu ya
maumivu wanayopata kwani hawakujua mambo yangekuwa kama yalivyo baada
yakuandikwa katika mtandao,vurugu za hapa na pale zilijitokeza lakini kupitia
kwa mwanasheria wa Blog hii Severinus Mwijage mambo yalikaa vema kwani hawakuwa
na lakujitetea baada ya kusomewa vipengele vya sheria ya blog na taratibu za
habari kwani story ikiwa balanced ni haki kuwekwa hadharani.
hata
hivyo baada ya siku kadhaa walirudi nakuishukuru blog hii kwani imewasaidia kuachana na mambo
mabaya nakujikita katika kufanya sanaa kwa uadilifu mkubwa na hata kuwa makini
katika kila jambo kwa hofu ya kuandikwa tena katika mtandao.
Safu
ya wahariri inawaomba wasanii kuwa huru kufikisha habari zao zenye maendeleo na
si kufanya mambo ya skendo nakulalamika wanapoandikwa,aidha iwewasii wasanii
wavikundi vyote kutoa kazi nyingi nakuzitangaza kupitia mtandao huu bila ya
gharama yeyote.
No comments:
Post a Comment