Mcheza filamu na mwandishi wa habari jijini Arusha anayesifika kwa kupenda mauzo atambulikae kwa jina la Deogratius anadaiwa kumtesa mpenzi wake kimapenzi na kumsababishia baadhi ya makovu mwilini akijiumiza kwa kusudi kwa imani ya kupunguza hasira.
Kwa
mujibu wa rafiki wa karibu wa bidada huyo ambaye ni mchungaji wa kanisa la
Miracle alilofungua baada ya kutemana na mzigo wa kuuza sura yaani muigizaji
(jina kapuni),alidai kuwa shosti huyo kwa sasa anashindwa hata kufanya shughuli
nyingine kisa kulilia penzi la HB huyo ambaye amekua kama Jaguar na nyimbo ya
kigeugeu.
“mimi
namshangaa sana rafiki yangu huyu,ni mwaka na miezi hivi sasa anamngángánia
huyu jamaa sijui karogwa?sasa alisema kaacha mambo ya dunia nakuanzisha hadi
kanisa ndugu mwandishi wewe ni shahidi ulikuwepo kipindi kanisa laanzishwa,mimi
nimemshauri sana basi hata atafute mume lakini hasikii,kafa kaoza kwa huyu
jamaa kweli nimewahi kupenda lakini huyu rafiki yangu kazidi’’alinukuliwa
akisema binti huyo.
Hata
hivyo nyepesi za chini chini zinadai hali ya shosti huyo kuwa mbaya kwani kuna
wakati anaonekana kuvimba macho kama mpiganaji masumbwi kwakushinda ndani
akilia kama mtoto mdogo jambo linalo mkra swaiba wake huyo.
Aidha
Blog hii ilimtafuta Deo na kuzungumzia ishu hii,hivi ndivyo alivyotiririka,
“kaka hayo majungu tu,mimi nampenda sana mpenzi wangu,kwanza wamzungumzia yupi?
Haaaaaaaaaa
akajikuta anajishtukia kwani hakujua anayezungumziwa ni yupi kwa wakati
huo,nikabaki najiuliza anawangapi?lakini nikampa ufafanuzi akatiririka.
“aha
kumbe huyo,kaka mi nampenda sana mpenzi wangu na hivi tunavyozungumza mwezi wa
nane namaliza mambo,nafunga nae ndoa we jiandae kula pilau tu”.
Baada
ya mazungumzo hayo bidada muolewaji naye alitafutwa na kuulizwa kama alikuwa na
taarifa juu ya ndoa hiyo ya mwezi nane, “mh ndoa ya nani tena ndugu yangu mana
mi nikama nagundu mahusiano yakawaida yananipa kichefuchefu hiyo ndoa ya wapi
labda 2015 nikijaaliwa”.heeeeeee kumbe hata hakuna cha ndoa.
Hata
hivyo jamaa huyo ameombwa kuwa muangalifu kwani anamfanya binti huyo kuwa mlevi
sana kwa sasa jambo linalowaogopesha wasanii wengine kuwa atakuja kunywa hata
sumu.
No comments:
Post a Comment