Msanii
marufu kutoka Jijini Arusha katika tasnia ya filamu ambaye pia ni mwalimu wa
sanaa katika vikundi mbalimbali ameamua kumrudia Mungu baada ya kutenda maovu
kwa muda mrefu.
ABBY au KELVIN |
Akizungumza
na mwandishi wa habari hii msanii huyo alisema kua “ NIMEAMUA KUMRUDIA MUNGU
BAADA YA KUONA MAMBO YA DUNIANI HAYAFAI NA HAYANA FAIDA KWA UPANDE WANGU”
Pia
aliongeza kua “KAMA NI UZINZI NIMEFANYA HADI NIMECHOKA NA WANAWAKE TOFAUTI
TOFAUTI HADI WENGINE NI WAKE ZA WATU, NIMEWADANGANYA WATU WENGI SANA LAKINI
WENGI WAO NI WANAWAKE NA PIA NIMEFANYA MAMBO MENGI MABAYA ZAIDI YA HAYA”
Msanii
huyo aliendelea kukiri kuwa “NILIWAHI KUWA NA UHUSIANO WA KIMAPENZI NA WASANII
WENZANGU WENGI TU WA EMAGS VIDEO ENTERTAINMENT NA PIA TULIVYOENDA TANGA
MASHAALAH NILIPATA MTOTO WA KITANGA AITWAYE JOHARI TOKA KUNDI LA MAJUTO ARTS LILILO CHINI YA MSANII NGULI WA
KOMEDI TANZANIA KING MAJUTO”
Msanii
huyo wa filamu ambaye anafahamika kwa jina la ABBY kabla ya kubatizwa na
kuokoka na kwa sasa anaitwa KELVIN baada ya kuokoka na kumrudia Mungu.
Alipo
ulizwa na mwandishi wa habari hizi kuwa kwa sasa anasali kanisa gani, msanii
huyo alisema “KWA SASA NASALI KATIKA KANISA LA BETHELI CHRISTIAN CENTER
LILILOPO KIJENGE CHINI YA MCHUNGAJI ORAL SOSY, PIA NAIMBA KWAYA HAPO KANISANI
KWANI NINA KIPAJI CHA KUIMBA PIA”
www.arushaprofessionalmovies.blogspot.com itaendelea
kuwaleta habari za msanii huyo wa filamu namna anavyoendelea katika wokovu
wake.
No comments:
Post a Comment