POKEA UPAKO MTAKATIFU |
Hayo yalibainika pale mtoa taarifa hii alipotuambia kuwa msanii huyo kwa sasa baada ya kuona anateseka kimapenzi kwani kila kukicha wanakorofishana na mpenzi wake hivyo kuamua kumrudia Mungu na kufungua kanisa lake.
Kwa habari za uhakika kutoka maktaba yetu inasema kuwa binti huyu kila kukicha anaonekana akiwa na mawazo na pia muda mwingi huwa anaonekana hana raha hasa pale anapomkumbuka mpenzi wake huyo ambaye jina tunalo na wanaomfariji mara nyingi ni marafiki zake wa kiume.
Hizi ni picha ambazo mtoa habari wetu alitutumia alipokwenda kusali katika kanisa hilo na kusema kuwa kwa kweli huyu dada ana UPAKO kupitiliza…
ANAYESADIKIKA KUWA MCHUNGAJI WA KANISA JIPYA LA DELIVERENCE MIRACLE CENTER |
Jumatatu – Maombezi - 11:00 jioni – 12:30 jioni
Jumanne – Neno - 11:00 jioni – 12:30 jioni
Jumatano – Ibada ya kusifu na kuabudu - 11:00 jioni – 12:30 jioni
Alhamisi – Maombi na Maombezi - 11:00 jioni – 12:30 jioni
Ijumaa – Maombi ya kufunga - 11:00 jioni – 12:30 jioni
Jumamosi – Kwaya - 11:00 jioni – 12:30 jioni
Jumapili – Ibada ya Neno la Mungu - 4:00 asubuhi – 8:00 mchana
Maombezi - 11:00 jioni – 12:30 jioni
No comments:
Post a Comment