Ile kampuni gwiji na yenye wataalamu waliobobea katika fani ya utengenezaji vipindi vya televisheni, filamu, makala na matangazo ya televisheni EMAGS VIDEO ENTERTAINMENT wameendelea kuleta vitu vipya kwa wapenzi wao baada ya movie ya TEMPTETION OF MY WIFE ambao utaingia sokoni hivi karibuni ikisambazwa na STEPS ENTERTAINMENT ya jijini Dar es saalam.
Hayo yalidhihirika pale mwandishi wetu alipokutana na kundi kubwa la wasanii wa filamu toka Emags wakiwa wako location wakifanya mambo yao.
Tulimtafuta mmoja wa wasanii ambaye ataonekana kwenye kipindi hicho ajulikanaye kwa jina la SEVERINUS MWIJAGE Jr naye akaelezea kuwa “Kipindi hiki kitakua kinafundisha familia mbalimbali na jamii kwa ujumla kufumbua fumbo ambalo jibu atakua nalo mtazamaji” alisema Mwijage
Kama kawaida ya Emags kupenda kukuza Jiji la Arusha kisanaa, Kipindi hiki kitarekodiwa katika jiji la Arusha na mandhari yake.
Hizi ni baadhi ya picha ambazo mwandishi wetu aliweza kuzipata wakati Emags wakiwa location
|
CAMERA MAN DIZO AKIFANYA YAKE... |
|
|
CAMERA MENS DIZO & IBRATZ KAZINI |
|
CAMERA MAN DIZO MZIGONI |
|
MSANII MWIJAGE KATIKA VIDEO YA JE INGEKUWA WEWE |
|
WASANII WA EMAGS WAKIWA KAZINI |
|
DIZO AKIWAJIBIKA |
|
KIKAZI ZAIDI |
|
WAREMBO WA EMAGS WAKIKAMUA KATIKA MOJA YA PICHA |
|
WASANII WAKIWA KATIKA SCENE YA KANISANI |
|
MSANII AKIWA KAJIPUMZISHA BAADA YA KAZI |
|
CHEZEA MISHI NA FELISHA WEWE? |
|
KIKAZI ZAIDI EMAGS ENTERTAINMENT |
No comments:
Post a Comment