awataadharisha
mabinti kukaa chonjo na waume zao.
MAURINE KATIKA POZI |
Ule Msemo wakula kutokana na ulefu wa kamba
yako umejidhihirisha kwa msichana mmoja ambaye ameamua kuachana na kazi yake ya
usekretari na kujikita katika tasnia ya filamu akiamini upande huo kuwa ndo
sehemu rahisi ya mabinti kutokea ndani ya bongo land.
Msichana
huyo ambaye jina lake ni adimu kulijua haswa baada ya kujipachika majina
tofauti katika kila jambo afanyalo kwa lengo lakutozoeleka,ambapo baadhi ya
majina atumiayo ni Maureen au Happy na hivi karibuni akijibadili kabisa jinsia
na kujiita Daddy.
Aidha
baada ya kujikita katika tasnia ya filamu mrembo huyo amejikuta katika skendo
nzito baada ya kudaiwa kuvuruga mahusiano ya kimapenzi ya msanii mwenzake aliyefahamika kwa jina moja
la Jane ambaye licha ya usanii ni msusi katika saloon moja maarufu mitaa ya
Ilboru (jina tunalihifadhi)nakujikuta wakirumbana kila wanapokutana na kuacha
maswali kwa wasanii na jamii kwa ujumla.
Arusha
professional ilitililishiwa mpambano mkali uliojitokeza katika saluni hiyo hivi
karibuni,ambapo wasichana hao walitaka kuzichapa kavukavu mbele ya hadhira bila hata aibu wakidaiwa kumgombania kipoba
huyo wa kitaa ambaye ni dereva mkongwe wa kampuni ya utalii jijini hapa ambaye
jina lake halikuweza kufahamika kwa urahisi.
Hata
hivyo walionekana kuogopana na kuishia kulushiana maneno ya kejeli na kashfa za
kuvuana nguo,kwa kile kilichoonekana kila mmoja kujinadi kulala na njemba
hiyo,kwa upande wa Jane “mimi ni mrembo sana na jamaa anajua mziki wangu tuwapo
faragha,na pia ananipenda sana kwa muda mrefu ,wewe nikama wajiuza tu kwani ni
wajuzi,najua ni shida zako za kodi halooooo”
kama haitoshi Happy nae akajibu mapigo kwa kijembe cha moto.
“we
sema yote lakini ujue kuwa umechuja,angalia nilivyo bado mbichi si wewe uliyeingia
leba mara kibao na kukongoroka mimi jana tu nimelala nae na kama haitoshi
jumamosi nahamia kabisaaaa,kama vipi andamana mimi ndo mtoto wakichaga utaisoma
namba mjini hapa kila mbuzi ula kwa urefu wa kamba yake”
Licha
ya ugomvi huo Maureen au Happy amezidi kukubwa na jinamizi la uhalibifu baada
ya kuonekana na mchumba wa msanii mwenzake ambaye pia ni mtangazaji wa kituo
cha televisheni jijini Dar,na kuonyesha mahaba bila woga wala haya ,blog hii
ilimpigia simu nakujibu kuwa asisumbuliwe kwani alikuwa darasani ,hata hivyo
tutakuletea muendelezo wake kesho.
MAURINE NA MUME WA MTU |
Arusha
professional movie inalaani kitendo hiki nakuwaomba wasanii hao kusuluhisha
nakuachana na tabia hizo kwani si usanii bali kuchafua tasnia hii ambayo bado changa.
No comments:
Post a Comment